Bao hilio liliofungwa na Stiker ''Mbwana Samata" katika dakika ya saba lilidumu hadi mwisho wa mchezo na kuihakikishia Kilimanjaro star ushindi.

Kilimanjaro starz inasubiri mchezo wa jioni hii kati ya Zambia na Somali ilikueza kujua na ataungana nae kwenda hatua ya robo fainal.