Home » , » MREMBO Huddah Monroe Amweka Wazi Mpenzi wake

MREMBO Huddah Monroe Amweka Wazi Mpenzi wake

Huddah aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na rapper Prezzo lakini hivi karibuni amekuwa akiyaficha mahusiano yake baada ya muda mwingi akionekana akiwa mwenyewe kwenye viwanja tofauti.

Akiongea na Kiss FM, Huddah alisema, “I have a boyfriend, he’s playing soccer.” Lakini alipinga kuwa mpenzi wake huyo siyo Vicent Wanyama kwa kuwa yeye ndiye mchezaji pekee wa Kenya anayecheza ligi kuu ya Uingereza tena timu kubwa.

Tazama video hapa. 
                                               
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website
 
Copyright © 2011. PERUZI HABARI - All Rights Reserved
Proudly powered by Peruzitz