Home » , » BREAKING NEWS;;; RAISI WA BURUNDI ''Pierre Nkurunziza'' APINDULIWA ,,JESHI LIMECHUKUA NCHI

BREAKING NEWS;;; RAISI WA BURUNDI ''Pierre Nkurunziza'' APINDULIWA ,,JESHI LIMECHUKUA NCHI


Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.

Breaking newz<<<habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mkuu wa jeshi la nchi ya Burundi ''Maj Gen Godefroid Niyombareh'' ametangaza rasmi kumpindua raisi wa Nchi ya Burundi Pierre Nkurunziza,, hatua hii imefuata baada ya kutokea machafuko nchini humo yaliyosababishwa na raisi huyo kutaka kujiongezea kipindi cha kutawala,, taarifa kamili tutakujuza mdau
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website
 
Copyright © 2011. PERUZI HABARI - All Rights Reserved
Proudly powered by Peruzitz