
Wabunge wa Upinzani jana walitoka nje ya Bunge kwa madai kuwa Serikali ya Awamu ya Tano hadi sasa haina 'Mwongozo wa kuiongoza Serikali'. Madai mengine wanapinga ubadilishwaji wa matumizi ya fedha kwa kigezo cha kubana matumizi bila kushirikisha bunge
Je unamaoni gani?