Home » , » Kikwete Akiri Kumkabidhi Rais John Pombe Magufuli Uenyekiti CCM

Kikwete Akiri Kumkabidhi Rais John Pombe Magufuli Uenyekiti CCM

Katika mahojiano aliyoyafanya na BBC , Rais mstaafu Kikwete amekiri kuwa hivi karibuni atakabidhi Uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa Rais Maguli na yeye kubaki kama mzee mstaafu lakini maarufu.

Hata hivyo Kiwete amekiri pia kuwa ataendelea kushughulika na maswala ya kimataifa kama sehemu ya kazi yake baada ya kustaafu.

Kile kitendawili cha Chama sasa kimeteguka.


Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website
 
Copyright © 2011. PERUZI HABARI - All Rights Reserved
Proudly powered by Peruzitz