Ally Kiba anaweza kuwa hasikiki sana kwenye redio miaka ya hivi karibuni
na humsikii akilalamika. Huenda mrembo huyu anaweza kuwa sehemu muhimu
katika moyo wake na hivyo kumfanya azisahau stress za mainstream (kwa
sauti ya Godzilla aka Zizi).
Mkali huyo ambaye hivi karibuni alikuwa Nairobi kurekodi collabo yake na
Redsan, amepost picha kwenye Instagram akiwa na mrembo ambaye hakuna
shaka kuwa ni ubavu wake wa pili..
HATIMAYE MASANII ALI KIBA APOST PICHA AKIWA MPENZI WAKE
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan
klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website