-2.jpg)
Katika kudadavua na kupekenyua tumeweza kukutana na CD za ngono tena zilizofanywa na vijana wetu wa kitanzania bila kujali maadili ya nchi yetu vijana wamethubutu kutengeneza filam ya ngono na kuingiza mtaani na kuuza bila kuogopa maadili ya nchi yetu
-9.jpg)
Jina la kampuni hiyo kama unavyoanza mkanda unasomeka VIDEO ENTERTAIMENT inawaletea bongosex from tz bila uoga wanachafua jina la nchi yetuHii Aibu sasa bongo tumefikia kufanya filamu za ngono bila kujali magonjwa
-5.jpg)
-18.jpg)